Bookbot

Malezi na Elimu ya Kiinjili katika Nchi inayoendelea Tanzania

Mchango kwa Mazungumzo ya Tamaduni mbalimbali za Makanisa ya Kiinjili

Más información sobre el libro

Judah B. M. Kiwovele aliandika doctoral thesis hii mwaka wa 1982. Alijaribu kuunganisha mapokeo ya kiutamanduni ya kibena na mafundisho ya Martin Luther ili kuonyesha njia ya „inculturation“ ya Imani ya Kikristo katika mazingira na hali halisi ya Tanzania Kusini. Andiko hili linakuwa na maelezo mazuri ya mila na desturi ya kibena pamoja na ya hali ya wakati wa Uhuru wa Tanzania (Ujamaa). Kwa hiyo andiko hili ni sauti nzuri na kumbukumbu muhimu ya njia ya kuelekea na kutengeneza uhuru nchini. Kwa hiyo andiko lake limetafsiriwa sasa katika lugha ya Kiswahili.

Compra de libros

Malezi na Elimu ya Kiinjili katika Nchi inayoendelea Tanzania, Judah Kiwovele

Idioma
Publicado en
2011
product-detail.submit-box.info.binding
(Tapa blanda)
Te avisaremos por correo electrónico en cuanto lo localicemos.

Métodos de pago

Nadie lo ha calificado todavía.Añadir reseña